Soka la mtaani lenye hadhi ya kitaifa. Tunakuza vipaji, tunajenga undugu, na kutetea heshima ya kwetu.
Ligi moja. Upendo mmoja. Vumbi moja. | #1 Grassroots Football League in Tanzania | Ligi moja. Upendo mmoja. Vumbi moja. | #1 Grassroots Football League in Tanzania |
PANDE CUP NI NINI?
"Pande" ni neno la mtaani. Ni pasi. Ni fursa. Ni nafasi.
Ni ile moment unaposema, "nipe pande" — niamini, niunganishe, nipe nafasi ya kweli.
Habari! Mimi ni Gorilla Mwakere, msaidizi wako mkuu na mchambuzi wa kiweledi wa Pande Cup.
Mbali na masuala ya soka na takwimu za uwanjani, nipo hapa pia kuzungumza nawe kuhusu changamoto za maisha, afya ya akili (mental health), na fursa za kiuchumi. I am fully bilingual, so feel free to chat with me in English or Swahili!